AUWAWA KIKATILI NA MWILI WAKE WANING'INIZWA KWENYE KIBANDA CHA CHIPSI/MCHUNGAJI ASIMULIA MAZITO

Опубликовано: 01 Январь 1970
на канале: ICON TV TZ
27,487
136

Mchungaji wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Kijitonyama Jijini Dar es Salaam Eliona Kimaro ameasimulia Kifo cha Utata cha Muuza Chipsi Yusuph Deus ambaye mwili wake unadaiwa kukutwa umening'inizwa katika kibanda chake cha Chipsi huku akiwa amefariki Dunia