Mc DR Cheni aifanya sherehe ya Binti wa Rais wa Zanzibar Mh DKT Hussein Ali Mwinyi iliyohudhuriwa na viongozi mbalimbali, Akiwepo Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan na waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa, pamoja na viongozi mbalimbali mawaziri na wenye hadhi.